KMPDU YAKOSOA UTENDAKAZI WA BIMA YA SHA.
Asilimia 80 ya wakenya wameendelea kukabiliwa na changamoto za matibabu ya maradhi mbali mbali, licha yao kusajiliwa kwenye bima ya SHA. Haya ni kulingana na muungano wa madaktari nchini KMPDU, ambao umesema kuwa asilimia hiyo, ni ile ya wagonjwa wanaopokea matibabu na kurejea majumbani. Kulingana na naibu katibu wa muungano huo Denis Miskella, hatua hiyo […]
KMPDU YAKOSOA UTENDAKAZI WA BIMA YA SHA. Read More »



