RAIS WILLIAM RUTO ATANGAZA KURAHISISHA SHUGHULI ZA WATALII KUINGIA KENYA KUPITIA USAFIRI WA BAHARINI.
Rais William Ruto amesema Kenya inatazamia kuidhinishaji usafiri wa Kielektroniki, wa kuingia kwa wingi kwa watalii wa meli za kifahari katika bandari ya Mombasa. Akihutubia wanahabari katika bandari hiyo, alipokaribisha wageni zaidi ya Elfu mbili, baada ya meli ya Norwey kutia Nanga kwenye bandari ya Mombasa, rais alisisitiza dhamira ya serikali kuu kutangaza nchi hii, […]



