POLICE FC YAWINDA UBINGWA
Vinara wa Ligi Kuu hapa Nchini Kenya Police, wataanza harakati Zao za Kutetea Taji la FKF cup makala ya Mwaka huu, dhidi ya Superior Hotel Fc Kutoka Naivasha, hii ni baada ya Droo ya michuano hiyo Itakayo Ng’oa nanga wikendi Hii kufanyika hapo jana Usiku. Wanabenki KCB ambao walipoteza kwenye fainali ya makala yaliyopita, watamenyana […]
POLICE FC YAWINDA UBINGWA Read More »



