Kitaifa

SERIKALI YA KITAIFA YAPANIA KUNUNUA MAGARI ELFU TANO YA MAAFISA WA POLISI KITAIFA.

Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen, amesema kuwa serikali inapania kununua magari elfu tano, yatakayo kabidhiwa maafisa wa polisi. Kulingana na Murkomen, idadi kubwa ya majukumu ya maafisa wa polisi katika taifa hili, yamekosa kufanikishwa kutokana na ukosefu wa usafiri. Akizungumza hapa kaunti ya Kilifi, waziri huyo amesema pia kuna haja ya matatizo ya […]

SERIKALI YA KITAIFA YAPANIA KUNUNUA MAGARI ELFU TANO YA MAAFISA WA POLISI KITAIFA. Read More »

MASHURIKA YA KIJAMII YADAIWA KUTATIZA SHUGHULI ZA WIZARA YA MADINI NA UCHUMI WA BAHARI.

Waziri wa madini na uchumi wa bahari na maziwa nchini Ali Hassan Joho amenyooshea kidole cha lawama mashirika ya kijamii, kwa kutatiza shughuli za uchimbaji madini eneo bunge la Ganze hapa kaunti ya Kilifi. Kulingana na Joho, mashirika ya kijamii pia yamechangia kusimamishwa kwa shughuli za utekelezwaji wa miradi ya maendeleo, hasa katika wizara yake.

MASHURIKA YA KIJAMII YADAIWA KUTATIZA SHUGHULI ZA WIZARA YA MADINI NA UCHUMI WA BAHARI. Read More »