WANDANI WA ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA WADAI KUHANGAISHWA NA SERIKALI KUU.
Mbunge wa Githunguri kaunti ya Kiambu, Gathoni Wamuchomba, amedai kwamba maisha yake yako hatarini baada ya serikali kuu kumpokonya walinzi wake. Wamuchomba ambaye pia ni mwandani wa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, amesema analengwa kutokana na msimamo wake wa kisiasa. Akizungumza baada ya kuandikisha taarifa katika afisi za kitengo cha DCI, Wamuchomba amesema kuwa rais […]
WANDANI WA ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA WADAI KUHANGAISHWA NA SERIKALI KUU. Read More »



