Kitaifa

WAFUASI WA KAWIRA MWANGAZA WAPATA MWANGA WA SIASA ZA KIONGOZI WAO.

Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Meru, Kawira Mwangaza amesema kuwa atazindua chama chake kitakacho mpatia fursa ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo kwa mara nyingine. Kawira ambaye alibanduliwa mamlakani na bunge la kaunti ya Meru, amesema kuwa hatua yake kuwa mgombea huru, ni mojawapo sababu zake kukosa kupata utetezi dhidi ya mswada wa kumuondoa mamlakani […]

WAFUASI WA KAWIRA MWANGAZA WAPATA MWANGA WA SIASA ZA KIONGOZI WAO. Read More »

NANCY MACHARIA AKAMILISHA MDA MWAKE WA KUHUDUMU KATIKA WADHIFA WA MKURUGENZI WA TUME YA WALIMU TSC.

Tume ya kuwaajiri walimu nchini TSC, imeanza mchakato wa kumtafuta afisa mkuu mtendaji mpya, atakayemrithi Nancy Macharia, ambaye muda wake wa kuhudumu unakaribia kukamilika. Macharia, ambaye alikuwa mwanamke wa kwanza kuongoza tume hiyo tangu ibuniwe, amekuwa amekuwa akihudumu katika wadhifa huo tangu mwaka 2015. TSC iweka tangazo rasmi la uteuzi wa mrithi wa Macharia na

NANCY MACHARIA AKAMILISHA MDA MWAKE WA KUHUDUMU KATIKA WADHIFA WA MKURUGENZI WA TUME YA WALIMU TSC. Read More »

FRED MATIANG’I ASISITIZA WAKENYA KUDUMISHA AMANI.

Aliyekuwa waziri wa usalama nchini Dkrt Fred Matiang’I, amewaonya wakenya dhidi ya kuchochewa na wanasiasa kuendeleza hasama kati yao. Kulingana na Matiang’I, wakenya wanapaswa kudumisha umoja na kuendelea kuwa na imani ya kubadilika kwa hali ngumu za kiuchumi, ambazo zimeendelea kukumba taifa hili kwa sasa. Aidha, kiongozi huyo ambaye ametangaza nia yake ya kuwania urais

FRED MATIANG’I ASISITIZA WAKENYA KUDUMISHA AMANI. Read More »