SHIRIKA LA MUHURI LAKASHIFU MAUAJI YA MBUNGE WA KASIPUL KAUNTI YA HOMA BAY.
Afisa wa dharura katika shirika la Muhuri kaunti ya Monbasa, Francis Auma amelaani vikali mauji ya mbunge wa Kasipul kaunti ya Homa Bay Ong’ondo Were, huku akitaka idara ya usalama kuharakisha uchunguzi dhidi ya kisa hicho. Kulingana na Auma, kisa hicho kina dhihirisha usalama wa taifa hili hauko dhabiti na wakenya wako katika hatari ya […]
SHIRIKA LA MUHURI LAKASHIFU MAUAJI YA MBUNGE WA KASIPUL KAUNTI YA HOMA BAY. Read More »



