Kitaifa

TAIFA LA KENYA LAJITAHIDI KATIKA KULINDA WANANCHI WAKE DHIDI YA MALARIA.

Kenya imepiga hatua kubwa zaidi katika kukabiliana na maradhi ya malaria katika maeneo tofauti ya taifa hili. Haya ni kulingana na katibu wa huduma za afya nchini daktari Mary Muthoni, ambaye amesema, kwa kutumia mfumo wa kidijitali, takriban wakenya milioni 28 katika kaunti 24 za taifa hili walinufaika na neti zilizotibiwa. Katika taarifa yake kwa […]

TAIFA LA KENYA LAJITAHIDI KATIKA KULINDA WANANCHI WAKE DHIDI YA MALARIA. Read More »

WAKENYA WOTE NCHINI WAAHIDIWA KUPATA MIRADI YA MAENDELEO.

Mkuu wa watumishi wa umma nchini Felix Koskei amesema kuwa serikali ya kitaifa haijatenga eneo lolote kimaendeleo katika taifa hili. Koskei amesema kuwa sharti wakenya wa maeneo yote humu nchini wanufaike na miradi ya maendeleo, ikatoyoboresha maisha mashinani. Akizungumza katika kaunti ya Marsabit, Felix amesema kuwa tayari wanakandarasi, wamerejeshwa katika maeneeo tofauti ya taifa hili,

WAKENYA WOTE NCHINI WAAHIDIWA KUPATA MIRADI YA MAENDELEO. Read More »

MAAFISA WA SERIKALI WADAIWA KUCHANGIA PAKUBWA KATIKA VISA VYA ULANGUZI WA BINADAMU.

Afisa wa dharura katika shirika la kutetea haki za kibinadam la MUHURI, kaunti ya Mombasa Francis Auma amepinga vikali suala la kubuniwa kwa kitengo maalum cha kukabiliana na ulanguzi wa binadamu nchini. Kulingana na Auma, kubuniwa kwa kitengo hicho ni njia mojawapo ya kuharibu fedha za umma kwani ufisadi ndiyo chanzo cha wakenya kuuzwa kuwa

MAAFISA WA SERIKALI WADAIWA KUCHANGIA PAKUBWA KATIKA VISA VYA ULANGUZI WA BINADAMU. Read More »