WIZARA YA LEBA YAPINGA MADAI YA WAKENYA KUHADAIWA KATIKA MPANGO WA KAZI MAJUU.
Waziri wa Leba Dkt. Alfred Mutua amepinga madai kwamba serikali iliwapora na kuwalaghai wakenya kwenye mpango wa kazi majuu wa kuwatafutia kazi Ughaibuni. Kulingana na waziri Mutua, zaidi ya wakenya elfu 41 wamenufaika kupata nafasi hizo za ajira ughaibuni na kuongeza kuwa mtu anaweza pata kazi hizo kwa kati ya mwezi mmoja hadi kumi na […]
WIZARA YA LEBA YAPINGA MADAI YA WAKENYA KUHADAIWA KATIKA MPANGO WA KAZI MAJUU. Read More »



