WANAWAKE WENYE TABIA YA KUOMBA PESA KWA WANAUME MWISHOWE HUNYANYASWA KINGONO MAKUBALIANO YAKIKIUKWA
Baadhi ya visa vya wanawake kudhulumiwa kingono na wanaume vinadaiwa kuchangiwa na makubaliano baina ya wawili hao kukosa kuafikiwa. Haya ni kulingana na Mwenyekiti wa shirika la kutetea haki za wanawake na watoto la KILIFI MUMS kaunti ya Kilifi Kibibi Ali ambaye amesema baadhi ya wanawake wamekuwa na tabia za kuomba pesa za mahitaji kutoka […]



