Kaunti

KECOSCE YAWATAKA WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA KIJAMII

Ipo haja ya wananchi pamoja na viongozi wa kijamii katika eneo la Malindi na kaunti ya Kilifi kwa jumla, kushirikiana ili kutatua baadhi ya changamoto za kiusalama katika jamii. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa mipango katika shirika la kijamii la kuangazia usalama na amani la KECOSCE Maxwell Lumbasi, ambaye ametaja ukosefu wa ajira […]

KECOSCE YAWATAKA WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA KIJAMII Read More »

JAMII YA WAMAKONDE KAUNTI YA KWALE YADAI KUTENGWA

Mwenyekiti wa jamii ya Wamakonde kaunti ya Kwale Thomas Nguli amesema jimii hiyo eneo bunge Msambweni imekuwa ikitengwa na serikali ya kaunti hiyo kwenye masuala ya ajira. Nguli amesema licha kutambuliwa rasmi kama Wakenya hawajakuwa wakihusishwa katika masuala ambayo yanahusu serikali ya kaunti ya Kwale. Aidha, ameipongeza serikali ya kitaifa kwa kuwatambua na kuwapa nafasi

JAMII YA WAMAKONDE KAUNTI YA KWALE YADAI KUTENGWA Read More »