Kaunti

BARAZA LA CIPK KAUNTI YA TANA RIVER LAMTAKA RAILA ODINGA KUSITISHA MAANDAMANO

Viongozi wa dini ya Kiislamu katika baraza la wahubiri na maimamu CIPK kaunti ya Tana River, wamemtaka kinara wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga kusitisha maandamano ya kila Jumatatu na Alhamisi kuanzia wiki hii kupinga uongozi wa rais William Samoei Ruto. Wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza hilo tawi la kaunti ya Tana River […]

BARAZA LA CIPK KAUNTI YA TANA RIVER LAMTAKA RAILA ODINGA KUSITISHA MAANDAMANO Read More »

WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI

Ni afueni kwa waumini wa kanisa la Malindi Methodist mjini Malindi kaunti ya Kilifi baada kurejea katika kanisa lao lililokuwa limefungwa kwa miaka mitat kutokana na kile wanachodai kuchangiwa na uongozi mbaya wa dhehebu hilo nchini. Wakiongozwa na Askofu wa dhehebu hilo ukanda huu wa Pwani, Gambo Davis Matano ametaja suala la waumini wa dhehebu

WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATENGA FEDHA ZA KUNUA VIFAA VYA MATIBABU

Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema serikali ya kaunti ya Kilifi imetenga fedha za kununua vifaa vya matibabu, katika hospitali ya Marafa eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Kwa mujibu wa kiongozi huyo tayari wameagiza zaidi ya vitanda 100 vya kusaidia wagonjwa, watakokuwa wakilazwa katika kutuo hicho cha afya. Kulingana na

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATENGA FEDHA ZA KUNUA VIFAA VYA MATIBABU Read More »