Kaunti

BEACH BAY YAPANGA KUINGIA SOKONI, MALINDI UNITED IKIREJEA MALINDI

Klabu ya Beach Bay yenye makazi yake katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi klabu inayoshiriki ligi ya daraja la pili kitaifa inalenga kusajili wachezaji watatu katika dirisha la usajiliili kukiimarisha kikosi hicho. Mkufunzi wa klabu hiyo James Mkutano amesema kwamba Beach Bay inawinda wachezaji  wawili kutoka PAG na mmoja kutoka Lubumbashy FC ili […]

BEACH BAY YAPANGA KUINGIA SOKONI, MALINDI UNITED IKIREJEA MALINDI Read More »

GAUCHO KUJIUNGA NA MALINDI UNITED BAADA YA KUACHANA NA BULLS

Kocha mkuu wa Young Bulls, Ali Said Gaucho, ameondoka katika klabu hiyo ya FKF Division One yenye makaazi yake mjini Malindi kwa wiki moja sasa. Gaucho ametaja kuna baadhi ya vitu ambavyo hakuvielewa baina yake na uongozi hivyo basi kulazimika kufunga virago. Kwa sasa, anahusishwa na kutua Malindi United ingawa dili hilo haliko wazi. Coach

GAUCHO KUJIUNGA NA MALINDI UNITED BAADA YA KUACHANA NA BULLS Read More »