WAKENYA WAPONGEZWA KWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Shirika la STRICHERS eneo la Changamwe kaunti ya Mombasa limewapongeza wakenya kwa kudumisha amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini. Akiongea katia hafla ya kuadhimisha siku ya amani ulimwenguni iliyofanyika kwenye kaunti ndogo ya Changamwe afisa mkuu katika shirika hilo Evans Ouma amesema uchaguzi mkuu wa mwaka huu unapaswa kuigwa kutokana na jinsi […]
WAKENYA WAPONGEZWA KWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI Read More »



