VIJANA WALIOSIMAMISHWA KAZI KATIKA BANDARI YA MOMBASA WATAKA KUPEWA KIPAUMBELE
Vijana ambao walisimamishwa kazi katika bandari ya Mombasa wametoa wito kwa rais William Kipchirchir Arap Ruto pamoja na washikadau katika mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini KPA kuwaregesha kazini. Wakiongozwa na Hussein Khalid Hussein wamesema kuregeshwa kwa huduma za bandari kaunti ya Mombasa kutawawezesha vijana kupata nafasi za kazi na pia kuboresha uchumi wa kaunti […]
VIJANA WALIOSIMAMISHWA KAZI KATIKA BANDARI YA MOMBASA WATAKA KUPEWA KIPAUMBELE Read More »



