WANANCHI KAUNTI YA KWALE WAONYWA DHIDI YA SEMI ZA CHUKI MITANDAONI.
Naibu kamishana eneo la Matuga kaunti ya Kwale Lucy Ndemo, amewaonya wananchi dhidi ya kuendeleza semi za chuki kwa viongozi waliochaguliwa eneo hilo. Ndemo amesema kuwa wale wanaoendeleza semi za chiki mitandaoni, watakabiliwa kwa mujibu wa sheria kwani idara ya usalama, inaendeleza uchanguzi dhidi yao. Amewataka wananchi kudumisha ushirikiano mwema kati yao na viongozi walioko […]
WANANCHI KAUNTI YA KWALE WAONYWA DHIDI YA SEMI ZA CHUKI MITANDAONI. Read More »



