Kaunti

SHIRIKISHO LA KENAFF LAWAALIKA WAKULIMA KATIKA MAOENYESHO YA KILIMO KAUNTI YA KILIFI.

Wakilima pamoja na wakaazi wa kaunti ya Kilifi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupokeza mafunzo kuhusiana na masuala ya kilimo, katika maoenyesho ya kilimo yatakayofanyika katika uwanja wa Alaskan hapa mjini Malindi. Akitaoa taarifa hizo kwa wanahabari mwenyekiti wa shirikisho la wakulima kitaifa la KENAFAA Bi Gertrude Bahati, amesema kuwa wakulima wanapaswa kuhamasishwa kuhisiana na […]

SHIRIKISHO LA KENAFF LAWAALIKA WAKULIMA KATIKA MAOENYESHO YA KILIMO KAUNTI YA KILIFI. Read More »

SERERIKALI YA KAUNTI YA KWALE YAAHIDI KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA.

Serikali ya Kaunti ya Kwale imeahidi kuipa kipaumbele sekta ya afya ili kuhakikisha kila mkaazi anapata huduma bora za matibabu. Akiongea katika wadi ya Macknon Road katika shughuli ya kutoa hundi ya basari kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Gavana wa kaunti hiyo ya Kwale Fatuma Achani amesema kuwa tayari mikakati imeidhinishwa kuimarisha sekta ya afya

SERERIKALI YA KAUNTI YA KWALE YAAHIDI KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA. Read More »

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI VIONGOZI WA PWANI KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI.

Wakaazi wa Kilifi kusini kaunti ya Kilifi wamempongeza rais William Ruto kwa kumteua Aisha Jumwa kwenye baraza lake la mawaziri. Wakaazi hao hasa kutoka eneo la Mtwapa wameeleza furaha yao kwa kuteuliwa kwa Jumwa wakiamini kuwa atamudu kudumisha utendakazi bora katika wizara hiyo. Aidha wamempongeza rais Ruto kwa kuwateua wanawake wengi zaidi kwenye baraza lake

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI VIONGOZI WA PWANI KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI. Read More »