BAA LA NJAA NA KIANGAZI KINAZIDI KUWAKABILI WENYEJI WA TAVETA
Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Taveta kaunti ya Taita Taveta Joseph Mericho amewataka wenyeji wa Maeneo Ya Bomani, Chala Na Jipe kaunti ya Taita Taveta Kuwa Na Subira Serikali Inapojitahidi Kuwapelekea Chakula cha msaada kutokana na hali ya kiangazi na baa la njaa. Mericho amesema Maeneo Hayo Ndiyo ambayo Yameathirika Zaidi Na Kiangazi Katika […]
BAA LA NJAA NA KIANGAZI KINAZIDI KUWAKABILI WENYEJI WA TAVETA Read More »



