TANI 54,000 ZA NGANO ZAWASILI BANDARINI MOMBASA
Shehena ya ngano kutoka nchi ya Ukraine iliwasili jana katika bandari ya Mombasa. Balozi wa Ukraine nchini Andrii Pravednyk amesema kuwa tani hizo 54,000 zitasaidia taifa kukabiliana na uhaba wa nafaka na kumaliza mfumuko wa bei. Amesema taifa la Kenya limekuwa likikabiliwa na uhaba wa ngano na tani hizo zitaifaidi nchi hii, mikakati zaidi inapoendelea […]
TANI 54,000 ZA NGANO ZAWASILI BANDARINI MOMBASA Read More »



