ZIWA KENYATTA KAUNTI YA LAMU YAENDELEA KUKAUKA
Ukame pamoja na uvamizi wa ardhi kando kando ya Ziwa Kenyatta eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu umesababisha ziwa hilo kuendelea kukauka. Kwa mujibu wa serikali ya kaunti ya lamu, Asilimia 75 ya Ziwa Kenyatta imekauka kutokana na shughuli mbalimbali zinazoendelea kufanyika karibu na ziwa hilo. Ziwa hilo hutegemea maji ya Mvua yanayopitia mikondo ya maji inayoanzia […]
ZIWA KENYATTA KAUNTI YA LAMU YAENDELEA KUKAUKA Read More »



