BAADHI YA WALIMU TAITA TAVETA WATAKA CBC KUTUPILIWA MBALI
Baadhi ya walimu kaunti ya Taita Taveta wameitaka serikali kuutupilia mbali mtaala mpya wa umilisi wa CBC na badala yake irejeshe ule wa zamani wa 8-4-4. Wakiongozwa na Paul Maundu walimu hao wamesema mtaala huo una gharama kubwa kwa mzazi huku pia akisema haukishirikisha wadau wote wa elimu kabla ya kuanzishwa kwake. Maundu amesema uhaba […]
BAADHI YA WALIMU TAITA TAVETA WATAKA CBC KUTUPILIWA MBALI Read More »


