SENETA WA TANA RIVER AWASHINIKIZA WENYEJI KUJIHUSISHA NA KILIMO
Seneta wa Tana River, Danson Mungatana amewashinikiza wakaazi wa kaunti hiyo kujihusisha na kilimo wakati huu kunaposhuhudiwa mvua kwa minajili ya kuimarisha uzalishaji wa chakula. Akiongea na wanahabari, Mungatana amesema chakula kilichotolewa na serikali kuu hakitoshi na kwamba serikali inapanga kutatua swala la baa la njaa kwa kuweka fedha za kutosha kufanikisha kilimo nyunyizi Mungatana […]
SENETA WA TANA RIVER AWASHINIKIZA WENYEJI KUJIHUSISHA NA KILIMO Read More »



