Kaunti

ABDULSWAMAD AWATAKA WABUNGE NA MASENETA KUSHUGHULIKIA MRADI WA GALANA KULALU

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amewataka wabunge na maseneta kuhakisha wanashugulikia suala la ardhi ya Galana Kulalu ili irejee kwa serikali ya kaunti kwa minajili ya kuwafaidi wananchi katika uzalishaji wa chakula, hatua ambayo itasaidia kudhibiti baa la njaa ambalo limekuwa likishuhudiwa kanda ya pwani na nchini Kote. Akizungumza katika eneo la […]

ABDULSWAMAD AWATAKA WABUNGE NA MASENETA KUSHUGHULIKIA MRADI WA GALANA KULALU Read More »

TAKRIBANI SHULE 180 KAUNTI YA TANA RIVER KUNUFAIKA NA CHAKULA CHA MSAADA

Mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Tana River Khalif Hassan amesema takribani shule 180 za msingi kwenye kaunti hizo zinatarajiwa kunufaika na chakula cha msaada kutoka kwa serikali ya kitaifa. Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari amesema chakula hicho kimeanza kuwasili kwenye kaunti ya Tana River. Amesema chakula zaidi cha msaada kikitarajiwa kuwasili na

TAKRIBANI SHULE 180 KAUNTI YA TANA RIVER KUNUFAIKA NA CHAKULA CHA MSAADA Read More »

WIZI WA VYUMA CHAKAVU UMEKITHIRI ENEO LA KALOLENI KAUNTI YA KILIFI

Viongozi mbalimbali eneo la Mariakani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanatoa wito kwa serikali ya kaunti ya Kilifi kufutilia mbali leseni za wafanyabiashara wa vyuma chakavu. Wakiongozwa na aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Mariakani Francis Kimosho wanadai kuwa wizi wa vyuma umekithiri eneo hilo licha ya serikali kuu kupiga marufuku biashara hiyo. Ameitaja

WIZI WA VYUMA CHAKAVU UMEKITHIRI ENEO LA KALOLENI KAUNTI YA KILIFI Read More »