Kaunti

WAHADHIRI WA VYUO VIKUU NCHINI WAMKOSOA WAZIRI WA ELIMU EZEKIEL MACHOGU

Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini wamemkosoa waziri wa elimu Ezekiel Machogu kufuatia tangazo lake kuwa serikali haitafadhili tena vyuo vikuu vya umma. Katibu mkuu wa chama cha wahadhiri-UASU- Constantine Wasonga, amesema pendekezo hilo halina msingi wowote na litaathiri pakubwa shughuli vyuoni. Wasonga amesema kuwa hakuwa na imani na uteuzi wa Machogu katika wizara ya elimu […]

WAHADHIRI WA VYUO VIKUU NCHINI WAMKOSOA WAZIRI WA ELIMU EZEKIEL MACHOGU Read More »

SALIM MVURYA ASEMA SERIKALI KUU IMEWEKA MIKAKATI KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI

Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za baharini BLUE ECONOMY Salim Mvurya amesema wameweka mikakati thabiti ambayo itasaidia katika kuimarisha sekta ya uvuvi na pia kuboresha kipato cha nchi. Mvurya ambaye alikuwa akizungumza kwenye kaunti ya Mombasa, amesema serikali kuu inapania kuimarisha shughuli za uvuvi pamoja mazingira ya uvuvi baharini. Kwa mujibu wa Mvurya

SALIM MVURYA ASEMA SERIKALI KUU IMEWEKA MIKAKATI KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI Read More »