UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE
Serikali ya kaunti ya Kwale imeanzisha ugavi wa chakula cha msaada kwa watu wenye uatilifu, wajane na mayatima. Ni hatua ambayo inajiri wakati ambapo baa la njaa linaendelea kuwakabili takribani wenyeji laki 2 katika kaunti ya Kwale kutokana na ukosefu wa mvua kwa muda mrefu. Mwakilishi wa kike kaunti ya Kwale Fatuma Masito na mshirikishi […]
UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE Read More »



