Kaunti

TUME YA ARDHI YAAHIDI KUTATUA UTATA WA ARDHI YA UWANJA WA NDEGE MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI.

Tume ya ardhi nchini imesema kuwa itatoa taarifa kamili kuhusiana na malipo ya fidia, kwa waathiriwa wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Malindi kaunti ya Kilifi miezi miwili kuanzia sasa. Kulingana na mwenyekiti wa tume hiyo Gershom Otachi, sharti tume hiyo ifanye uchunguzi wa uhalali wa hati miliki za ardhi hizo, ili kubaini wale […]

TUME YA ARDHI YAAHIDI KUTATUA UTATA WA ARDHI YA UWANJA WA NDEGE MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

JAMII ENEO LA MAGARINI NA KAUNTI YA KILIFI KWA JUMLA YASISITIZWA KUTUNZA MAZINGIRA.

Wakfu wa benki ya I&M, unapania kupanda miti milioni kumi katika maeneo mbali mbali ya taifa hili, kufikia mwaka ujao wa 2026. Haya ni kwa mujibu wa afisa mkuu wa mawasiliono, katika wakufu wa benki hiyo Karanja Nzisa, ambaye amesema benki hiyo imewekeza zaidi katika utunzi wa mazingira, kupitia upanzi wa miti na kujenga uwezo

JAMII ENEO LA MAGARINI NA KAUNTI YA KILIFI KWA JUMLA YASISITIZWA KUTUNZA MAZINGIRA. Read More »

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI WA FIKIRINI JACOBS KWENYE WADHIFA WA KATIBU KATIKA SERIKALI KUU.

Gavana wa kaunti ya Kilifi amejiunga na wakaazi wengine wa kaunti hii, katika kumpongeza kiongozi wa vijana kwenye chama cha ODM, kaunti ya Kilifi, Fikirini Jacobs kwa kuteuliwa kuwa katibu wa idara ya vijana na michezo kwenye serikali kuu. Akizungumza na waandishi wa habari, gavana Mung’aro amempongeza Fikirini pamoja na Profesa Abdulrazak Shaukat, mkaazi wa

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI WA FIKIRINI JACOBS KWENYE WADHIFA WA KATIBU KATIKA SERIKALI KUU. Read More »