Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YASEMA ITALIPA MADENI YAKE KWA WATUMISHI WA UMMA.

Serikali ya kaunti ya Kilifi kwa mara nyingine imeahidi kulipa marupurupu ya wafanyakazi wake kaunti hii. Katika kikao na waandishi wa habari, kaimu katibu wa serikali ya kaunti ya Kilifi, Catherine Kenga amedhibitisha kuchelewashwa kwa malipo hayo na kusema kuwa serikali ya kaunti hii, imeweka mikakati ya kulipa fedha hizo. Catherine amesema kuwa tayari fedha […]

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YASEMA ITALIPA MADENI YAKE KWA WATUMISHI WA UMMA. Read More »

VIJANA TISA WANAO KISIWA KUWA WAHALIFU WAKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI KAUNTI YA KWALE.

Maafisa wa polisi eneo  Diani kaunti ya Kwale, wamefanikiwa kuwakamata washukiwa  9  wa uhalifu, wanaowahangaisha wenyeji kwa kuwakata mapanga na kuwapora mali zao katika maeneo ya Diani na Ukunda kaunti hiyo. Tisa hao waliokuwa wamejihami kwa silaha, wametiwa mbaroni  usiku wa kuamkia leo, katika maeneo tofauti huko Diani, nakufikisha idadi ya wahalifu waliokamatawa tangu oparesheni hiyo ilipoanza

VIJANA TISA WANAO KISIWA KUWA WAHALIFU WAKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI KAUNTI YA KWALE. Read More »