SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YASEMA ITALIPA MADENI YAKE KWA WATUMISHI WA UMMA.
Serikali ya kaunti ya Kilifi kwa mara nyingine imeahidi kulipa marupurupu ya wafanyakazi wake kaunti hii. Katika kikao na waandishi wa habari, kaimu katibu wa serikali ya kaunti ya Kilifi, Catherine Kenga amedhibitisha kuchelewashwa kwa malipo hayo na kusema kuwa serikali ya kaunti hii, imeweka mikakati ya kulipa fedha hizo. Catherine amesema kuwa tayari fedha […]
SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YASEMA ITALIPA MADENI YAKE KWA WATUMISHI WA UMMA. Read More »



