SANGO SPORTIFF YASAJILI USHINDI MUHIMU LAMU, BEACH BAY IKIKOSA HUHESHIMU RATIBA DARAJA LA PILI.
Bao la fowadi Samuel Chikola ndio bao la pekee lililosababisha vijana wa furunzi fc wikendi ilopita kusajili ushindi dhidi ya klabu ya Simba Apparel katika mechi ilochezwa dimbani Alaskan mjini Malindi kaunti ya Kilifi. Ushindi huo wa bao 1-0 unaifanya Furunzi Fc ya mkufunzi Nero Chishenga sasa kupanda hadi nafasi ya tano wakiwa na alama […]



