Kaunti

WATALII ZAIDI YA ELFU MOJA WAMEWASILI KATIKA BANDARI YA MOMBASA

Meli ya watalii zaidi ya elfu moja imewasili nchini na kutia nanga katika bandari ya mombasa. Meli hiyo kwa jina MV. Atania imewaleta watalii hao kutoka mataifa ya Madagascar na Mauritius, watalii ambao baadaye wanatarajia kuondoka hadi Zanzibar kabla ya kurejea makwao. Mamlaka ya bandari nchini KPA imesema kuwa serikali kupitia wizara husika itaboresha sekta […]

WATALII ZAIDI YA ELFU MOJA WAMEWASILI KATIKA BANDARI YA MOMBASA Read More »

KIPCHUMBA MURKOMEN ASEMA KUFIKIA MWISHONI MWA MWEZI APRILI KUTAKUWA NA MKURUGENZI MPYA WA KPA

Waziri wa uchukuzi na miundo mbinu nchini Kipchumba Murkomen amesema kufikia mwishoni mwa mwezi April mwaka huu wa 2023, Mamlaka ya bandari nchini KPA inatarajiwa kuwa na mkurugenzi mkuu mpya. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa Murkomen amesema Bodi ya KPA ndiyo ambayo ina jukumu la kumteua mkurugenzi mkuu ambaye atachukua nafasi ya John Mwangemi ambaye

KIPCHUMBA MURKOMEN ASEMA KUFIKIA MWISHONI MWA MWEZI APRILI KUTAKUWA NA MKURUGENZI MPYA WA KPA Read More »