HAALAND ASHINDA TUZO LAKE LA KWANZA UINGEREZA
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City mwite Erling Braut Haaland ameshinda tuzo lake la kwanza tangu ahamie ligi kuu nchini uingereza akitokea klabu ya Borussia Dortmund. Haaland ameshinda tuzo la mchezaji bora wa mwaka wa chama cha waandishi wa soka wa Uingereza. Pamoja na hayo Haaland ameshinda tuzo la mchezaji bora wa mwezi April. Kufikia […]
HAALAND ASHINDA TUZO LAKE LA KWANZA UINGEREZA Read More »



