GRAHAM POTTER AKUBALI KUWA MKUFUNZI MPYA WA CHELSEA
Mkufunzi wa klabu ya Brighton inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza Graham Potter amekubali kuwa mkufunzi mpya wa klabu ya Chelsea baada ya kufutwa kazi kwa mkufunzi wa klabu hiyo Thomas Tuchel kutokana na matokeo mabay tangia kuanza kwa msimu huu. Wamiliki wa klabu hiyo ya darajani Stamford bridge tayari wanaripotiwa kufanya mazungumzo na mkufunzi huyo …
GRAHAM POTTER AKUBALI KUWA MKUFUNZI MPYA WA CHELSEA Read More »