Kimataifa

TOTTENHAM HOTSPURS YAFIDIA MASHABIKI BAADA YA KIPIGO CHA AIBU

Klabu ya Tottenham Hotspurs imeamua kufidia gharama ya tikiti kwa mashabiki wake baada ya tukio la jumapili ambapo Spers walipigwa kichapo cha aibu cha mabao 6-1 dhidi ya Newcastle United katika uwanja wa St James Park. Klabu hiyo imetoa taarifa kwamba imehuzunishwa na kipigo hicho ambacho ni chungu kwa mashabiki hivyo kuamua kuwarudishia hela wanunue

TOTTENHAM HOTSPURS YAFIDIA MASHABIKI BAADA YA KIPIGO CHA AIBU Read More »

CHELSEA WAMEACHANA NA UEFA RASMI, AC MILAN IKIITOA NAPOLI

Klabu ya Chelsea sasa imeagana rasmi na mashindano ya klabu bingwa ulaya baada ya kukubali kichapo cha raundi ya pili dhidi ya Real Madrid darajani Stamford Bridge usiku wa kuamkia leo. The Blues wametandikwa mabao 2-0 na mabao ya kinda wa Brazil Rodrigo ndio mabao yaliyotosha kuipeleka Real Madrid ya mkufunzi Carlo Ancelotti katika hatua

CHELSEA WAMEACHANA NA UEFA RASMI, AC MILAN IKIITOA NAPOLI Read More »