HATUOGOPI CHOCHOTE LIGINI – SALIM BABU
Wakati vilabu vya hapa nchini vinapozidi kujitayarisha kwa msimu mpya wa 2022/2023 Mkufunzi wa Nzoia Sugar FC Salim Babu anatazamia michuano mikali ya ligi pindi itakapoanza rasmi. Nzoia sugar walipoteza 1-0 na 2-0 dhidi ya Nyota FC na Wazito FC mtawalia katika mechi za kirafiki wiki iliyopita na mkufunzi Babu anasema kwamba hajashtushwa sana na […]
HATUOGOPI CHOCHOTE LIGINI – SALIM BABU Read More »


