SEKTA YA UTALII KAUNTI YA KILIFI YATARAJIWA KUBOREKA.
Serikali ya Italia inaendeleza juhudi za kufufua sekta ya utalii katika kaunti ya kilifi, kwa kuhakikisha kuwa watalii zaidi wanazuru kaunti hii. Akizungumza katika eneo la Gede Ruins, kwenye tamasha la kitamaduni la muziki wa kitaliano, balozi wa Italia humu nchini Roberto Natali, amesema kuwa mpango huo ni sehemu ya kujenga uhusiano bora zaidi, kati […]
SEKTA YA UTALII KAUNTI YA KILIFI YATARAJIWA KUBOREKA. Read More »



