TONNY NGALA

BUNGE LA SENETI LAWASUTA WANASIASA WANAOSHEREHEKEA HATUA YA RAILA ODINGA KUKOSA WADHIFA WA MWENYEKITI WA AUC.

Maseneta wameendelea kutoa hisia mseto, kuhusu sababu zilizochangia aliyekuwa mgombea wa kiti cha tume ya umoja wa Africa AUC, Raila Odinga, kupoteza katika uchaguzi huo uliofanyika jumamosi iliyopita. Wakiongozwa na kiongozi wa wengi kwenye bunge hilo Arron Cheriyot na seneta wa kaunti ya Narok, Lendama Olekina, wameelezea kusikitishwa na hatua ya baadhi ya wanasiasa, kufurahishwa […]

BUNGE LA SENETI LAWASUTA WANASIASA WANAOSHEREHEKEA HATUA YA RAILA ODINGA KUKOSA WADHIFA WA MWENYEKITI WA AUC. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO ATETEA AHADI YAKE YA BARABARA ENEO LA KASKAZINI MASHIRIKI MWA KENYA.

Rais William Ruto ametetea ahadi yake ya ujenzi wa barabara Kutoka Mandera, ifike Lamu, hadi Gare, ipitie Eluwaku, na kuunganishwa na Kobo, kisha ipitie Kotula, hadi Tarbat, na kuongezwa hadi Wajir, na kupitia Samatan na Mogadish, hadi Isolo na mwishowe Nairobi. Kiongozi huyo wa taifa amesema kuwa serikali yake, imejitokea kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo

RAIS WILLIAM RUTO ATETEA AHADI YAKE YA BARABARA ENEO LA KASKAZINI MASHIRIKI MWA KENYA. Read More »

MBUNGE WA JUJA GEORGE KOIMBURI ATIWA NGUVUNI NA MAAFISA WA DCI.

Maafisa wa usalama wamemtia mbaroni mbunge wa Juja kaunti ya Kiambu, George Koimburi kwa madai ya kusema “serikali kuu, ilitumia shilingi bilioni 13, kumpigia debe Raila Odinga, katika kuwania wadhifa wa mwenyekiti wa tume ya muungano wa taifa ya Afrika AUC”. Aidha baadhi ya viongozi wanaoegemea upande wa aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, wamejitokeza

MBUNGE WA JUJA GEORGE KOIMBURI ATIWA NGUVUNI NA MAAFISA WA DCI. Read More »