TONNY NGALA

WABUNGE WA PWANI WASHINIKIZA SERIKALI KUU KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO UKANDA HUU.

Wabunge wa Pwani wanasema wataendelea kupigania masuala ya maendeleo eneo hili, ili kupata ufadhili wa miradi katika bajeti ya mwaka ujao. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Danson Mwashako, wamesema kuwa serikali ya kitaifa, inapaswa kufanikisha miradi yake ukanda huu, hatua ambayo itaboresha uchumi wa Pwani. Akizungumza katika kikao kilicho waleta pamoja viongozi wa Pwani, katika kaunti […]

WABUNGE WA PWANI WASHINIKIZA SERIKALI KUU KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO UKANDA HUU. Read More »

WANASIASA WAONYWA DHIDI YA KUKUMBUSHA WAKENYA GHASIA ZA BAADA YA UCHAGUZI WA MWAKA 2007-2008.

Mkuu wa mawaziri ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje Musalia Mudavadi, amewaonya wanasiasa dhidi ya kuchochea machafuko kwenye uchaguzi wa mwaka 2027. Kulingana na Mudavadi, hakuna kiongozi wa kisiasa ambaye anapaswa kukumbusha wakenya matukio hayo, kwani anawatia hofu ya kushiriki uchaguzi huo mkuu. Akizungumza katika eneo la Malava kaunti ya Kakamega, Mudavadi amesema

WANASIASA WAONYWA DHIDI YA KUKUMBUSHA WAKENYA GHASIA ZA BAADA YA UCHAGUZI WA MWAKA 2007-2008. Read More »

UKOSEFU WA FEDHA ZA KAUNTI WACHELEWESHA UJENZI WA HIFADHI YA WAATHIRI WA DHULMA ZA KIJINSIA KAUNTI YA KWALE.

Ukosefu wa fedha za kutosha kwenye bajeti ya kila mwaka ya serikali ya kaunti ya Kwale, ndiyo chanzo cha serikali hiyo kushindwa kufanikisha ujenzi wa maeneo ya kuhifadhi waathiriwa wa dhulma za kijinsia. Haya ni kulingana na waziri wa masuala ya jamii na talanta kaunti hiyo Francisca Kilonzo, hifadhi hizo ni paswa kujengwa katika eneo

UKOSEFU WA FEDHA ZA KAUNTI WACHELEWESHA UJENZI WA HIFADHI YA WAATHIRI WA DHULMA ZA KIJINSIA KAUNTI YA KWALE. Read More »