UKOSEFU WA UDHAMINI SS ASSAD KIKWAZO
Masaa machache baada ya klabu hiyo ya kaunti ya Kwale kuchangiwa na mashabiki kuheshimu ratiba dhidi ya klabu ya Dimba Patriots wamekubali kichapo cha mabao 2-1. Chini ya masaa 24 yalopita klabu hiyo iliomba mchango kwa mashabiki kutokana na kulemewa na masuala ya usafiri jambo ambalo awali walitoa taarifa kuwa wangekosa kuheshimu ratiba. Kocha mkuu […]
UKOSEFU WA UDHAMINI SS ASSAD KIKWAZO Read More »



