MARAFA BOYS IKO TAYARI KUANDIKISHA HISTORIA YA RAGA
Kocha mkuu wa shule ya Upili ya Marafa Boys Erik Katitu kutoka Magarini kaunti ya Kilifi ameeleza imani yake kuwa watanyakua ubingwa wa kitaifa katika mashindano ya shjule za upili mwaka huu. Ameyasema hayo baada ya kuibuka mabingwa wa mchezo wa raga katika mkoa wa pwani na kuwa wawakilishi rasmi wa katika raga za kitaifa […]
MARAFA BOYS IKO TAYARI KUANDIKISHA HISTORIA YA RAGA Read More »



