NAMBA TATU ZA KLOPP ZAREJEA NA KUMPA TUMAINI
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Liverpool Jergen Klopp amesema kwamba fowadi wa ureno Diogo Jota, beki Virgil Van Dijk pamoja na Roberto Firmino watashirikishwa katika mechi ya usiku wa leo dhidi ya Everton katika dabi ya Merseyside itakayorindimwa katika dimba la Anfield saa tano usiku. Mkufunzi huyo raia wa Ujerumani anasema kwamba ako tayari kuchukua […]
NAMBA TATU ZA KLOPP ZAREJEA NA KUMPA TUMAINI Read More »


