WENYEJI WA TAITA TAVETA WANAOISHI KARIBU NA MBUGA YA WANYAMAPORI YA TSAVO WAIBUA LALAMA ZAO
Wakaazi wa kaunti ya Taita Taveta hususan wanaoishi karibu na mbuga ya kitaifa ya wanyamapori ya Tsavo wanalalamikia kero la wanyamapori na kulitaka shirika Hilo kuwajibika ipasavyo. Wakiongozwa na mwakilishi wa wadi ya Wumingu – Kishushe Newton Kifuso wanasema uvamizi huo unasababisha shughuli zao nyingi kulemazwa. Aidha, Kifuso ametoa wito kwa idara ya usalama kushirikiana […]



