ANSELM MWADIME AWATAKA WAZAZI KATIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA KUWAJIBIKIA MAJUKUMU YAO YA ULEZI KWA WATOTO WAO
Wazazi kaunti ya Taita Taveta wametakiwa kuhakikisha wanawajibikia majukumu yao ya ulezi kama vile kuhakikisha watoto wao wanapata haki ya elimu. Ni wito uliotolewa hasa kwa wazazi ambao watoto wao wanafadhiliwa na serikali ya kaunti kuhakikisha ada ndogondogo zinazotolewa shuleni haziwi sababu ya watoto wao kukosa masomo. Kwa mujibu wa naibu spika wa bunge la […]



