PETER SHAKE ASEMA HAUNGI MKONO MAANDAMANO YA MUUNGANO WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA
Mbunge wa Mwatate kaunti ya Taita Taveta Peter Shake amesema hatua ya baadhi ya wanasiasa wa Azimio La Umoja One Kenya kujiunga na ule wa Kenya Kwanza inatokana na msukumo wa maendeleo katika maeneo ambayo wanawakilisha. Akizungumza katika eneo bunge lake La Mwatate Shake ambaye ni mwanachama wa chama cha Jubilee amesema haungi mkono harakati […]
PETER SHAKE ASEMA HAUNGI MKONO MAANDAMANO YA MUUNGANO WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA Read More »



