KESI KWISHA! GUSII YAPEWA ALAMA TATU NA FKF
Klabu ya Gusii United imepewa alama tatu na shirikisho la fkf baada ya maamuzi ya kukatishwa kwa mechi yao dhidi ya Kajiado fc ugenini. Baada ya tathmini ya kina na shirikisho kufuatia ripoti ya maafisa wa mechi hiyo ni kwamba Kajiado fc walifeli kuwasilisha gari la ambulensi uwanjani kwa mujibu wa sheria za maandalizi ya […]
KESI KWISHA! GUSII YAPEWA ALAMA TATU NA FKF Read More »



