SPIKA MPYA WA BUNGE LA TANA RIVER AMEAHIDI KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZINGINE ZA SERIKALI
Spika mpya wa bunge la kaunti ya Tana River, Ousman Nur Galole ameahidi kuboresha uhusiano wa bunge sawia na taasisi zingine za serikali. muda mchache baada ya kuchaguliwa kwake. Akizungumza baada ya kuchaguliwa kuwa spika wa bunge hilo, Galole pia amewataka wakaazi wa kaunti hiyo, kuchukulia kwa umuhimu mkubwa vikao vya umma vya maoni vinavyoitishwa […]
SPIKA MPYA WA BUNGE LA TANA RIVER AMEAHIDI KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZINGINE ZA SERIKALI Read More »



