AZHAR ALI MBARAK NDIYE SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA LAMU
Aliyekuwa mwakilishi wa wadi mteule wa Shella kaunti ya Lamu baada ya kushinda kwenye kipute hicho katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 mwaka huu wa 2022 Azhar Ali Mbarak amechaguliwa kuwa spika wa bunge la kaunti ya Lamu. Mbarak alikuwa amechaguliwa kama mwakilishi wa wadi mteule wa Shella kabla ya kujiuzulu wadhifa huo siku chache […]
AZHAR ALI MBARAK NDIYE SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA LAMU Read More »



