Janet Mumbi

RAILA ODINGA ADAI KULIKUWA NA MITAMBO MINNE YA IEBC KUPEPERUSHA MATOKEO YA UCHAGUZI

Kinara wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga anadai kulikuwa na mitambo minne ya tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kupeperusha matokeo ya kura za uchaguzi mkuu wa Agosti 9 mwaka jana wa 2022 ambazo zilitumika kufanikisha wizi wa Kura za urais katika kipute hicho. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa Raila amesema […]

RAILA ODINGA ADAI KULIKUWA NA MITAMBO MINNE YA IEBC KUPEPERUSHA MATOKEO YA UCHAGUZI Read More »

MCHUNGAJI MATIKO AWAONYA VIJANA DHIDI YA KUTAZAMA FILAMU ZILIZO NA VIDEO ZA NGONO

Mchungaji wa kanisa la Ocean Assemblies Of God mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Samuel Matiko amewaonya vijana dhidi ya kutizama filamu zilizo na video za ngono. Kulingana na mchungaji huyo hatua ya vijana kutizama filamu hizo kumechangia pakubwa kwa ao, kuwa na hamu ya kushiriki ngono kabla ya ndoa. Akizungumza na mwanahabari wetu katika afisini

MCHUNGAJI MATIKO AWAONYA VIJANA DHIDI YA KUTAZAMA FILAMU ZILIZO NA VIDEO ZA NGONO Read More »

ONYO LATOLEWA KWA WAZAZI WA ENEO BUNGE LA MALINDI

Msaidizi wa naibu wa kamishna wa eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Angela Wanyama amewaonya wazazi wa Malindi dhidi ya kuwaruhusu watoto wao kuhudhuria hafla za Disco matanga nyakati za usiku. Kulingana na Wanyama kuwepo kwa Disco matanga katika jamii kumeathiri zaidi matokeo ya wanafunzi, wanaosoma katika taasisi mbalimbali za elimu mjini Malindi na kaunti

ONYO LATOLEWA KWA WAZAZI WA ENEO BUNGE LA MALINDI Read More »