Paps Mkare

SHEIKH TWAHA OMAR AMKOSOA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO

Mwenyekiti wa chama cha Wiper kaunti ya Mombasa Sheikh Twaha Omar amemkosoa Rais William Samoei Ruto akidai teuzi zake katika nafasi mbalimbali serikalini ni za kibaguzi. Twaha amepinga uteuzi wa nahodha William Kipkemboi Ruto kama mkurugenzi wa bandari ya Mombasa. Ameutaja uteuzi huo kama wa kikabila na ubaguzi na kusema kulipaswa kuteuliwa mtu ambaye anatoka

SHEIKH TWAHA OMAR AMKOSOA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO Read More »