SAMUEL GONZI RAI AWATAKA VIONGOZI WA KWALE KUSHIRIKIANA
Mbunge wa Kinango kaunti ya Kwale Samuel Gonzi Rai amewataka viongozi wa kaunti hiyo kuweka kando tofauti zao za kisiasa na kushirikiana ili kuiboresha kaunti hiyo. Rai akizungumza wakati wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika shule ya msingi ya Kinango amesema ni kupitia ushirikiano ndipo miradi itatekelezwa kwenye kaunti ya Kwale. Aidha, amesema atahakikisha […]
SAMUEL GONZI RAI AWATAKA VIONGOZI WA KWALE KUSHIRIKIANA Read More »



