UTALII PWANI WADAIWA KUCHANGIA ONGEZEKO LA VISA VYA DHULMA ZA KIJINSIA.
Washikadau mbali mbali katika mashirika ya kijamii kaunti ya Kilifi pamoja na wanasheria, wamekongamana katika kaunti ya Kilifi ili kujadili kuhusiana na mikakati ya kukabiliana na ongezeko la visa vya dhulma za kingono eneo la Pwani. Kulingana na wadau hao ni kuwa kaunti ya Kilifi, Kwale na Mombasa ni mojawapo ya kaunti za Pwani ambazo […]
UTALII PWANI WADAIWA KUCHANGIA ONGEZEKO LA VISA VYA DHULMA ZA KIJINSIA. Read More »



