WANARIADHA SABA PAMOJA NA OMANYALA WAPEWA UFADHILI
Bingwa wa mbio za Mita 100 Afrika Ferdinand Omanyala ameteuliwa kati ya wanufaikaji wa udhamini wa kamati ya olimpiki ya barani Afrika. Ufadhili huo ulizawadiwa wanriadha saba unalenga kuwasaidia wanariadha hao kuimarika wanpijitayarisha kwa mashindano ya Olimpiki ya 2024 yanyotarjiwa kufanyika jijini Paris Ufaransa. Omanyala ambaye pia mwaka huu alijishindia medali ya dhahabu katika mashindano […]
WANARIADHA SABA PAMOJA NA OMANYALA WAPEWA UFADHILI Read More »



