SERIKALI KUU YATAKIWA KUHARAKISHA UTOAJI WA MSAADA KWA WENYEJI WA TANA RIVER
Baadhi ya wawakilishi wa wadi kaunti ya Tana River wametoa wito kwa serikali ya kaunti hiyo na ile ya kitaifa kuharakisha utoaji wa msaada kwa wenyeji ambao wanaendelea kuathirika kutokana na hali ya ukame na baa la njaa. Wawakilishi wa wadi hao Ismael Kodobo wa Hirimani, Mahmoud Ali wa wadi ya Sala na Maka Maimuna […]
SERIKALI KUU YATAKIWA KUHARAKISHA UTOAJI WA MSAADA KWA WENYEJI WA TANA RIVER Read More »



