lulufm

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA LAMU WAMEATHIRIKA NA UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA

Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timammy ameapa kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya kwenye kaunti hiyo. Timamy amesema idadi kubwa ya vijana katika kaunti hiyo ni waraibu wa dawa za kulevya hali ambayo amesema iwapo hatua thabiti hazitachukuliwa huenda wengi wao wakashindwa kujinasua kwenye utumizi huo. Amesema wasichana wenye umri mdogo pia […]

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA LAMU WAMEATHIRIKA NA UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA Read More »

WANAHARAKATI TAITA TAVETA WASEMA WENYEJI HAWAFAHAMU MIPAKA YA MASHAMBA YAO

Wanaharakati wa masuala ya ardhi kaunti ya Taita Taveta wanasema kuna haja ya kutumia ardhi nchini ili kutoa ramani mbalimbali za ardhi kwenye kaunti hiyo ili wenyeji waweze kufahamu mipaka yao halisi. Wakiongozwa na Chris Mwambingu wanasema licha kuwa wenyeji wamekuwa wakikabidhiwa hati miliki zao, wengi wao hawajui mahali kwenye ardhi hizo ziko kwa madai

WANAHARAKATI TAITA TAVETA WASEMA WENYEJI HAWAFAHAMU MIPAKA YA MASHAMBA YAO Read More »

MFUMO WA ULIPAJI ADA WABADILISHWA KAUNTI YA MOMBASA

Serikali ya kaunti ya Mombasa imebadili mfumo wa ulipaji ada ya shilingi 1000 kila mwezi kwa wahudumu wa tuktuk kwenye kaunti hiyo. Mfumo huo unalenga kupunguza msongamano na kukabiliana na ufisadi miongoni mwa maafisa wa kaunti. Wahudumu hao wanaitaka serikali ya kaunti ya Mombasa kuwapa muda zaidi ili kuhamia katika mfumo huo wakisema hawakushirikishwa kikamilifu

MFUMO WA ULIPAJI ADA WABADILISHWA KAUNTI YA MOMBASA Read More »